Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 52 kabla ya Christian Pulisic kufunga la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace huo ukiwa ni ushindi wa sita mfululizo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Penix Jr. to Visit Raiders, Broncos, More Before NFL Draft amid
Giants Rumors
-
Washington quarterback Michael Penix Jr. will reportedly meet with a
handful of NFL teams following his pro day on Thursday. Per ESPN's Brady
Henderson, Pe...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment