Reece James akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 74 ikitoa sare ya 4-4 na Ajax Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Jorginho mawili yote kwa penalti dakika ya nne nan 71 na Cesar Azpilicueta dakika ya 63, wakati ya Ajax yalifungwa na Tammy Abraham aliyejifunga dakika ya pili, Quincy Promes dakika ya 20, Kepa Arrizabalaga aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Hakim Ziyech dakika ya 35 na Donny van de Beek dakika ya 55. Hata hivyo, refa Mtaliano Gianluca Rocchi alikataa bao la The Blues lililofungwa na Cesar Azpilicueta baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marouane Fellaini sheds new light on David Moyes' nightmare spell at Man
United - and labels it the 'worst season' he has ever experienced
-
Marouane Fellaini has admitted his first year at Manchester United was 'the
worst season of his career' as the club struggled under David Moyes.
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment