• HABARI MPYA

    Saturday, November 09, 2019

    BENZEMA APIGA MABAO MAWILI REALMADRID YAICHAPA 4-0

    Karim Benzema akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 17 na 29 kwa penalti katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Sergio Ramos dakika ya 20 kwa penalti na Federico Valverde dakika ya 61 na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Zinadine Zidane kinapanda kileleni katika La Liga, kikifikisha pointi 25, tatu zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENZEMA APIGA MABAO MAWILI REALMADRID YAICHAPA 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top