Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ewart Shadoff, Hall and Korda in Chevron contention
-
English pair Jodie Ewart Shadoff and Georgia Hall enjoy strong starts a the
Chevron Championship in Texas as American Lauren Coughlin leads.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment