• HABARI MPYA

    Saturday, October 12, 2019

    KIPCHOGE ATUMIA SAA MBILI TU KUMALIZA MARATHONI

    Eliud Kipchoge akifurahia baada ya ushindi wa rekodi mpya ya kukimbia Marathoni ndani ya saa mbili, Mkenya huyo mwenye umri wa miaka 34 akitumia muda wa Saa 1 dakika 59 na sekunde 40 kumaliza mjini Vienna, Austria asubuhi ya leo 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIPCHOGE ATUMIA SAA MBILI TU KUMALIZA MARATHONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top