Nahodha wa Croatia, Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stadion Poljud mjini Split. Mabao mengine ya Croatia yamefungwa na Bruno Petkovic dakika ya 24 na 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea will 'rival Man City for Jamal Musiala' as Blues look to 'bring
former youth star back to England' after starring for Bayern Munich
-
Chelsea are ready to rival Manchester City for Jamal Musiala as Premier
League clubs keep tabs on the Bayern Munich star who has two years
remaining on his...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment