Nahodha wa Croatia, Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stadion Poljud mjini Split. Mabao mengine ya Croatia yamefungwa na Bruno Petkovic dakika ya 24 na 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers 3-0 St Mirren: Steven Gerrard's side are now just ONE POINT from the Scottish title
-
GRAEME CROSER AT IBROX: It's now close enough to touch. From the way
Gerrard's players celebrated, there was a public acknowledgment that ten
years of pain...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment