Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 80 na 90 na ushei la tatu kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kund C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjn Rotterdam. Bao la pili la Uholanzi lilifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland limefungwa na Josh Magennis dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden reveals what it's REALLY like to play for Pep Guardiola in an
It's All Kicking Off podcast special
-
The 23-year-old, who announced this week that he and his girlfriend are
expecting their third child, sat down with It's All Kicking Off co-host and
Mail Sp...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment