MAKOCHA wa timu ya taifa, Joel Bendera na Ray Gama wakimkabidhi Kombe la CCM Nahodha wa Pan Africans, Mohammed ‘Adolph’ Rishard Februari 5, mwaka 1977 baada ya kuwafunga Coastal Union ya Tanga 3-0 kwenye fainali Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Katikati anayetazama kamera ni mshambuliaji Kassim Manara ambaye siku hiyo alifunga mabao mawili
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment