Gareth Bale (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 86 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Villarreal kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa De la Ceramica. Hata hivyo nyota huyo wa Wales alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano katika mchezo ambao alifunga pia bao la kwanza la Real dakika ya 45 na ushei huku mabao ya Villarreal yakifungwa na Gerard Moreno dakika ya 12 na Moi Gomez dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Louis Rees-Zammit is set to sign for Super Bowl champions Kansas City
Chiefs on a £700,000 training deal - with ex-Wales wing looking to be a
permanent team-mate of Patrick Mahomes and Travis Kelce
-
Louis Rees-Zammit is set for a stunning move to Super Bowl champions Kansas
City Chiefs as the former Wales star inches closer to his NFL dream.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment