Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford akisaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Manchester United hadi mwaka 2023 na mchezaji huyo aliyejiunga na klabu hiyo akiwa ana umri wa miaka saba, sasa mshahara wake utakuwa ni Pauni 200,000 kwa wiki ambazo ukichanganya na posho atakuwa anapokea Pauni 300,000 kila juma PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Harden Says Luka Doncic Is a 'Special One' After Nets' Loss to Mavericks
-
James Harden sees some similarities between himself and Luka Doncic,
acknowledging that the Dallas Mavericks have a "special" player in the
All-Star guard ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment