Refa akiwaonyesha kadi nyekundu mshambuliaji Lionel Messi wa Argentina na beki Gary Medel wa Chile (jezi nyekundu) dakika ya 37 baada ya wawili hao kugombana usiku wa Jumamosi katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu michuano ya Copa America. Argentina ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Sergio Aguero dakika ya 12 na Paulo Dybala dakika ya 22, wakati la Chile lilifungwa na Arturo Vidal kwa penalti dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Scale of Ryan Reynolds and Rob McElhenney's funding into Wrexham
laid bare by the club's astronomical wage bill... after the Hollywood
owners admitted they were 'f****d without National League promotion
-
Wrexham paid out £6.9million in wages during their promotional season from
the National League as the level of funding from the club's Hollywood
owners was...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment