Eddie Nketiah akishangilia na Tyreece John-Jules (kushoto) in baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 88 ikiilaza Bayern Munich 2-1 katika mchezo wa kirafiki michuano ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa leo Uwanja wa Dignity Health Sports Park, Carson, California mjini Los Angeles. Louis Poznanski alianza kujifunga dakika ya 49 katika harakati za kuokoa krosi ya Pierre-Emerick Aubameyang kuipa Arsenal bao la kuongoza, kabla ya Robert Lewandowski kuisawazishia Bayern Munich dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jazz's Donovan Mitchell Rips Refs After Ejection vs. 76ers: 'F--king Ridiculous'
-
Donovan Mitchell was not pleased following Wednesday's 131-123 overtime
loss to the Philadelphia 76ers ...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment