Lionel Messi (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifngia bao la pili Barcelona dakika ya 86 kufuatia Luis Suarez kufunga la kwanza dakika ya 85 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Sasa Barcelona inaongoza La Liga kwa pointi 11 zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia kwenye msimamo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
1 Trade Each NFL Contender Should Consider to Fill Biggest Weakness
-
Three weeks into the 2024 NFL year, and we're starting to shift our
attention from the aftermath of free agency to the draft. But general
managers should…
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment