• HABARI MPYA

    Monday, April 08, 2019

    SIMBA SC NA TP MAZEMBE KATIKA PICHA UWANJA WA TAIFA JUMAMOSI

    Nahodha wa Simba SC, John Raphael Bocco 'Adebayor' (kulia) akitafuta maarifa ya kumpokonya mpira mchezaji wa TP Mazembe katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0.  
    Kiungo Mzambia wa Simba, Clatous Chama akipiga krosi pembeni ya beki wa TP Mazembe, Mganda Joseph Ochaya 
    Beki Mburkinabe wa Simba SC, Zana Coulibaly (kushoto) akimlamba chenga beki wa TP Mazembe, Kevin Mondeko Zatu 
    Kiungo Mnyarwanda wa Simba, Haruna Niyonzima akimiliki mpira katikati ya Uwanja pembeni ya beki wa TP Mazembe, Godet Masengo  
    Beki wa Simba, Serge Wawa Pascal (katikati) akimsabahi kipa wa TP Mazembe, Muivory Coast mwenzake, Sylvain Gbohouo 
    Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed 'Mo' Dewji akizungumza na Rais wa klabu, Swedi Nkwabi
    Mashabiki wa Simba SC katika mchezo dhidi ya TP Mazembe Jumamosi Uwanja wa Taifa  
    Mashabiki wa Simba SC katika mchezo dhidi ya TP Mazembe Jumamosi Uwanja wa Taifa 
    Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo dhidi ya TP Mazembe Jumamosi Uwanja wa Taifa
    Kikosi cha TP Mazembe kabla ya mchezo dhidi ya Simba Jumamosi Uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA TP MAZEMBE KATIKA PICHA UWANJA WA TAIFA JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top