Kocha Zinedine Zidane akiwa haamini macho yake jana baada ya Real Madrid kuchapwa kwa mara ya kwanza chini yake, ikifungwa 2-1 na Valencia katika mchezo wa La Liga usiku wa jana hicho kikiwa kipigo cha tisa kwa timu hiyo msimu huu kwenye ligi hiyo. Mabao ya Valencia yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 35 na Ezequiel Garay dakika ya 83, wakati la Real Madrid ambayo sasa inazidiwa pointi 13 na Barcelona inayoongoza La Liga, lilifungwa na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Devin Haney Eyes Ryan Garcia Rematch, Wants 'Fair Fight' Under Agreed Weight
-
Devin Haney lobbied for a rematch with Ryan Garcia following his stunning
upset on April 20. "Ryan, despite the circumstances was victorious that
night and…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment