Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Matildas goalkeeper Mackenzie Arnold makes a HUGE change in her battle
against hearing loss
-
Matildas first choice goalkeeper Mackenzie Arnold has confirmed she will
make a huge change on the pitch as anticipation continues to build ahead of
the Pa...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment