• HABARI MPYA

    Wednesday, April 10, 2019

    LIVERPOOL YANUSA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA

    Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YANUSA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top