Alex Telles akishangilia baada ya kuifungia Porto bao la ushindi dakika ya 117 ikiilaza 3-1 AS Roma usiku wa jana katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Do Dragao mjini Porto. Mabao mengine ya Porto yalifungwa na Francisco Soares 'Tiquinho' dakika ya 26 na Moussa Marega dakika ya 52, wakati la Roma lilifungwa na Daniele De Rossi kwa penalti dakika ya 37. Kwa matokeo hayo, Porto inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City's Double Treble quest could still disintegrate into nothing after
penalty heartbreak against Real... Pep Guardiola must rally his troops -
but a crucial week has just got bigger, writes JACK GAUGHAN
-
JACK GAUGHAN AT THE ETIHAD: Bernardo Silva did fire a warning earlier in
the week. A warning of what lay around the corner. A warning that a
potential Treb...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment