Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 26 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Bayern Munich kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Bao lingine la limefungwa na Virgil van Dijk dakika ya 69, wakati la Bayern Munich Joel Matip alijifunga dakika ya 39 na kwa ushindi huo, Liverpool inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Vincent Kompany called referee Darren England a 'f*****g cheat'
multiple times in furious tirade at official after he gave Chelsea a
penalty against Burnley in 2-2 draw last month
-
EXCLUSIVE BY MIKE KEEGAN: Kompany was fined £10,000 and handed a two-match
touchline ban - with one of the games suspended - following the explosive
outbur...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment