Willian akishangilia mbele ya mashabiki baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 65 ikiilaza 3-0 Dynamo Kiev katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Pedro dakika ya 17 na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raducanu and Dart lose in Madrid Open first round
-
British pair Emma Raducanu and Harriet Dart lose in straight sets in the
first round of the Madrid Open.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment