Refa Ivan Kruzliak akimuonyesha kadi nyekundu beki Mgiriki wa Arsenal, Sokratis Papastathopoulos dakika ya 41 kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano baada ya kumchezea rafu Ismaila Sarr wa Rennes katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Renees ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Benjamin Bourigeaud dakika ya 42, Nacho Monreal aliyejifunga dakika ya 65 na Sarr dakika ya 88, wakati la Arsenal inayotakiwa kushinda 2-0 kwenye mchezo wa marudiano Machi 14 London, lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates NFL Mock Draft 2024: J.J. McCarthy to Vikings Among Final
Predictions
-
J.J. McCarthy has been linked to the Minnesota Vikings since the moment
they lost Kirk Cousins to the Atlanta Falcons in free agency. That doesn't
change in…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment