Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akiondoka kwenda kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 48 akimalizia pasi ya Mbrazil Roberto Firmino katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Sadio Mane dakika ya 24 na Georginio Wijnaldum dakika ya 34 na kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 26, ikirejea kileleni sasa ikiizidi pointi tatu Manchester City ambayo kesho itamenyana na Chelsea Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE SmackDown Results: Winners, Live Grades, Reaction, Highlights From
April 19
-
Welcome to Bleacher Report's live coverage of WWE SmackDown on April 19.
WrestleMania 40 may be behind us, but that doesn't mean things are slowing
down. T...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment