Wachezaji wa Barcelona, Clement Lenglet (kushoto) na Nelson Semedo wakimdhibiti mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zilitoka sare ya1-1, Real Madrid wakitangulia kwa bao la Lucas Vasquez dakika ya sita kabla ya Malcom kuisawazishia Barcelona dakika ya 57 na sasa zitarudiana Februari 27 Uwanja wa Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Samir Nasri mocked by fans after claiming Emiliano Martinez's 'behaviour
annoys me'...as he reveals what the Aston Villa goalkeeper was really like
at Arsenal
-
Martinez shushed the crowd and gestured towards the home fans as Villa won
on penalties away to Lille to reach the semi-finals of the Europa
Conference Lea...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment