Refa Jose Munuera akimuonyesha kadi nyekundu Lucas Vazquez wa Real Madrid baada ya kumuonyesha kadi ya pili ya njano na kumtoa nje dakika ya 61 kufuatia kumchezea rafu Mikel Merino wa Real Sociedad katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real Sociedad ilishinda 2-0, mabao ya Willian Jose kwa penalti dakika ya tatu na Ruben Pardo dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zach Wilson to Wear No. 10 Broncos Jersey After Trade from Jets
-
Quarterback Zach Wilson will have a new number to accompany his fresh start
with the Denver Broncos. The Broncos finalized the jersey numbers for their…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment