Harry Kane akishangilia na mchezaji mwenzake, Dele Alli baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Tottenham Hotspur dakika ya 26 ikiilaza Chelsea 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao jana Uwanja wa Wembley mjini London. Bao hilo awali lilikataliwa na mshika kibendera kabla ya marudio ya picha za video kuonyesha ni bao halali ndipo likakubaliwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment