SIMBA SC NA JS SAOURA KATIKA PICHA LEO UWANJA WA TAIFA
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akipasua katikati ya wachezaji wa JS Saoura katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0.
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi (kulia) akimtoka beki wa JS Saoura, Imadeddine Boubekeur
Kiungo Mzambia wa Simba SC, Clatous Chama akimtoka beki wa JS Saoura, Ibrahim Bekakchi
Beki Mghana wa Simba SC, Nicholas Gyan akipiga shuti mbele ya wachezaji wa JS Saoura
Beki Muivory Coast wa Simba SC, Serge Wawa Pascal akiondoka na mpira mbele ya kiungo wa JS Saoura, Ziri Hammar
Nahodha wa Simba SC, John Bocco akimtoka beki wa JS Saoura
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga 'HD' akimdhibiti beki wa JS Saoura, Nacereddine Khoualed
Mgeni rasmi, Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson akiwa na mfanyabiashara na mwanahisa mkuu wa Simba SC, Mohamed Dewji leo Uwanja wa Taida
Kikosi cha JS Saoura kabla ya mchezo na Simba SC leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo na JS Saoura leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Sky überträgt | Osmers pfeift
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund beim FC Bayern München an. Anstoß ist um
18:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir kompakt
zus...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment