Santi Cazorla akiifungia bao la kusawazisha Villarreal dakika ya 82 katika sare ya 2-2 na Real Madrid jana Uwanja wa Ceremica. Cazorla ndiye aliyefunga bao la kwanza la Villarreal pia dakika ya nne, wakati mabao ya Real Madrid yalifungwa na Karim Benzema dakika ya saba na Raphael Varane dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tom Brady Posts Training Video After Comments on Possibly Ending NFL
Retirement
-
After previously keeping the door open on a potential comeback, Tom Brady
is posting videos of himself training. In a four-second video on his
Instagram,…
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment