Nahodha Jordan Henderson akishangilia na mfungaji wa bao pekee la Liverpool, Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 57 baada ya kucheza mechi 22 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu ya England kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City wanaofuatia katika nafasi ya pili ambao hata hivyo wana mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olivier Giroud completes free summer transfer to LAFC from AC Milan ahead
of Euro 2024
-
According to transfer guru Fabrizio Romano, Giroud signed a contract to
join the LA-based MLS team on Tuesday, just a month after verbally agreeing
to join...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment