• HABARI MPYA

    Friday, January 04, 2019

    RAIS DK. SHEIN ALIPOFUNGUA UWANJA WA MAO ZEDONG

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana 
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti Mwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi ya Zheng Tai Group, iliojenga Uwanja huo Mr. Pan Yang, wakati wa hafla hiyo ya Uzinduzi wa Uwanja huo 
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea Uwanja wa Mao Zedong's baada ya kuufungua rasmin leo Zanzibar, akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Vijana,Michezo, Utamaduni na Sanaa Zanzibar, Omar Hassan King 
    Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana  
    Bendera zikipepea wakati wa ufunguzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Zedong's Zanzibar jana 
    Balozi Mdogo wa China anayefanyia Kazi Zanzibar Mhe. Xie Xiaowu, akizungumza wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Uwanja wa Mao Zedong's 
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea Uwanja wa Mao Zedong's baada ya kuufungua rasmin leo Zanzibar, akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Vijana,Michezo, Utamaduni na Sanaa Zanzibar, Omar Hassan King 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAIS DK. SHEIN ALIPOFUNGUA UWANJA WA MAO ZEDONG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top