Mshambuliaji Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 82 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Blackpool kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England leo Uwanja wa Bloomfield Road. Mabao mengine ya Arsenal yote yalifungwa na kinda Joe Willock dakika za 11 na 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Devin Haney Eyes Ryan Garcia Rematch, Wants 'Fair Fight' Under Agreed Weight
-
Devin Haney lobbied for a rematch with Ryan Garcia following his stunning
upset on April 20. "Ryan, despite the circumstances was victorious that
night and…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment