Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la tatu kwa penalti dakika ya 79 ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Fiorentina usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze katika mchezo wa Serie A. Mabao mengine ya Juventus inayoshinda mechi ya 13 kati ya 14 za ligi msimu huu, yalifungwa na Rodrigo Bentancur dakika ya 31 na Giorgio Chiellini dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool open talks with Feyenoord after identifying Arne Slot as the
ideal candidate to succeed Jurgen Klopp... as Reds face £8.5m compensation
fee to land the Dutchman
-
Slot, who was considered by both Tottenham and Chelsea last summer, has
found success since joining the Dutch side in 2021 and has become one of
the most p...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment