Mshambuliaji wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 51 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Leroy Sane dakika ya 40, wakati bao la kufutia machozi la Watford lilifungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Alonso responds to suggestions Taylor Swift took a jab at him in
her new album The Tortured Poets Department by featuring in hilarious
TikTok after rumoured romance
-
Prior to Swift's current relationship with American football star Travis
Kelce , she was rumoured to be dating Alonso, who drives for Aston Martin.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment