• HABARI MPYA

    Sunday, December 02, 2018

    LUKAKU AFUNGA MAN UNITED IKITOA SARE 2-2 NA SOUTHAMPTON

    Romelu Lukaku akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 33 akimaliza ukame wa mabao wa mechi 12, Mashetani Wekundu wakitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2 ugenini dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana. Bao la pili la Man United lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 39 pasi zote za mabao hayo zikitoka kwa Marcus Rashford. Mabao ya Southampton yalifungwa na Stuart Armstrong dakika ya 13 Cedric Soares dakika ya 20 
      
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFUNGA MAN UNITED IKITOA SARE 2-2 NA SOUTHAMPTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top