Romelu Lukaku akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 33 akimaliza ukame wa mabao wa mechi 12, Mashetani Wekundu wakitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2 ugenini dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana. Bao la pili la Man United lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 39 pasi zote za mabao hayo zikitoka kwa Marcus Rashford. Mabao ya Southampton yalifungwa na Stuart Armstrong dakika ya 13 Cedric Soares dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Samir Nasri mocked by fans after claiming Emiliano Martinez's 'behaviour
annoys me'...as he reveals what the Aston Villa goalkeeper was really like
at Arsenal
-
Martinez shushed the crowd and gestured towards the home fans as Villa won
on penalties away to Lille to reach the semi-finals of the Europa
Conference Lea...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment