Raul Jimenez akishangilia baada ya kuifungia Wolverhampton Wanderers bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 63, wakati la Chelsea lilifungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghanaian goal-machine Jordan Mintah joins Malaysian side Terengganu FC on one-year deal
-
Ghanaian scoring sensation Jordan Mintah has signed a one-year contract
with Malaysian top-flight side Terengganu Football Club, the club announced
on Sund...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment