Raul Jimenez akishangilia baada ya kuifungia Wolverhampton Wanderers bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 63, wakati la Chelsea lilifungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Havertz chasing down a Henry goalscoring record
-
Discover which of Thierry Henry's milestones our German forward is chasing
down thanks to his recent goalscoring spree
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment