Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric wa Croatia (kushoto) akizuiwa asiende kugombana na wachezaji wa Hispania katika mchezo wa Kundi la Nne Ligi ya Mataifa ya Ulaya jana Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb. Croatia ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Andrej Kramaric dakika ya 54 na Tin Jedvaj mawili dakika za 69 na 90 na ushei, wakati ya Hispani yalifungwa na Dani Ceballos dakika ya 56 na Nahodha, Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment