Mabondia Deontay Wilder wa Marekani na Tyson Fury wa Uingereza wakitambiana Alfajiri ya leo katika mkutano na Waandishi wa Habari mjini Los Angeles kuelekea pambano lao la Desemba 1, mwaka huu ukumbi wa Staples Center mjini humo. Wawili hao walitaka kupigana baada ya kuudhiana kwa kauli, kabla ya kutenganishwa na walinzi waoPICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry and wife Toni pose with their lookalike twin son and daughter
Georgie and Summer, 17, as Chelsea icon celebrates his Premier League Hall
of Fame induction
-
Terry (left) posted a picture of himself stood next to his wife
(second-left) and children on Instagram, who possess an uncanny likeness to
their former pr...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment