Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 3-0 dhidi ua Ujerumani jana kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza michuano ya Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam jana. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Memphis Depay dakika ya 86 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane revels in 'unbelievable win' over Arsenal - rivals of his former
club Tottenham - and reveals what what Bayern Munich said at half-time to
inspire dominant Champions League performance
-
Joshua Kimmich bopped in a header in the second half to send Bayern Munich
roaring into the semi-finals - and Arsenal scurrying back to London
withtheir ta...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment