Mtokea benchi, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 90 ikiilaza Newcastle United 3-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Newcastle ilitangulia kwa mabao ya Kenedy dakika ya saba na Yoshinori Muto dakika ya 10, kabla ya Man United kusawazisha kupitia kwa Juan Mata dakika ya 70 na Anthony Martial dakika ya 76. Sanchez aliingia dakika ya 67 kuchukua nafasi ya Marcus Rashford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment