• HABARI MPYA

    Saturday, October 06, 2018

    SANCHEZ ATOKEA BENCHI KUIFUNGIA BAO LA USHINDI MAN UNITED

    Mtokea benchi, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 90 ikiilaza Newcastle United 3-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Newcastle ilitangulia kwa mabao ya Kenedy dakika ya saba na Yoshinori Muto dakika ya 10, kabla ya Man United kusawazisha kupitia kwa Juan Mata dakika ya 70 na Anthony Martial dakika ya 76. Sanchez aliingia dakika ya 67 kuchukua nafasi ya Marcus Rashford 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ ATOKEA BENCHI KUIFUNGIA BAO LA USHINDI MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top