Mwanasoka Bora wa Dunia wa FIFA, Luca Modric akiwa chini analalamika wakati wa mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa de Mendizorroza mjini Vitoria-Gasteiz dhidi ya wenyeji, Alaves walioshinda 1-0, bao pekee la Manu García dakika ya 90 na ushei hiyo ikiwa mechi ya nne wanacheza bila kushinda au kufunga japo bao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TIM HOWARD: I played 152 games with Mikel Arteta... the manager leading
Arsenal vs. Manchester City is not my friend. He has changed. He is no
longer the teacher's pet with special privileges - and that's a good thing
-
In his latest column for DailyMail.com, TIM HOWARD lifts the lid on the
real Mikel Arteta... and why Louis Rees-Zammit can thrive in the NFL, where
players...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment