Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 56 na 90 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili na Ivan Rakitic dakika ya 28, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya 52 na Erik Lamela dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
Ahead of our latest clash with Sheffield United, test your knowledge of our
previous encounters with the South Yorkshire outfit.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment