• HABARI MPYA

    Thursday, October 11, 2018

    MAGITA MBWEGA WA KAHAMA ASIMULIA ‘ALIVYOJINUNULIA’ BAJAJI KWA SH 1,000 NA SPORTPESA WAMEMPELEKEA HADI MLANGONI

    HAKUNA kuchelewesha pale mtu anapotupia ubashiri wake na SportPesa anaingia kwenye Droo ya bajaj Re na unapopigiwa simu ya ushindi kuwa umeshinda bajaj utapelekewa mpaka ulipo bila kutoa hata shilingi.
    Ni kwa wakati Mwingine Tena SportPesa inamkabidhi mshindi wa Droo ya saba ya Shinda zaidi na SportPesa bajaj yake huyu ni Magita Mbwega kutoka Kahama aliipokea timu ya ushindi ikiwa na Mzigo wake mpya wa bajaj ilioupeleka mpaka nyumbani kwake.
    Mbwega anasema aliweka ubashiri wa shilingi elfu moja pekee na baada ya mechi akashinda shilingi elfu tano lakini habari njema kwake ilikuwa kupokea simu kutoka SportPesa kuwa ameshinda bajaj, Anadai kuwa wakati ameambiwa ameshinda hakuamini kabisa mpaka alipoona timu imefika nyumbani kwake.
    Magita Mbwega baada ya kukabidhiwa Bajaj yake mjini Kahama 

    Mshindi huyu wa droo ya Saba ambaye ni mjasiriamali wa kuuza nafaka anaeleza kuwa ili kubashiri sio lazima uwe maskini wala Tajiri bali hii ni Fursa kwa kila mtanzania.
    "Unajua jambo ambalo nimejifunza tangu nimeanza kucheza na SportPesa ni kwamba mchezo huu hauchagui maskini wala tajiri mimi nina biashara yangu lakini bado kupitia ubashiri na Sportpesa ninaongeza kila siku mtaji wangu pale naposhinda ubashiri lakini mbali ya hilo leo nimeshinda bajaji naenda kuongeza tena mtaji wangu na pesa nyingine ntakayopata kupitia bajaj hii itaingia kwenye matumizi ya ujenzi wa nyumba yangu nyingine". Alisema Mbwega. 
    Kwa upande wake mke wa Bwna Mbwega alisema kwake anaona kama neema Ya Mungu imewashukia kutokana na ushindi huo mkubwa kutoka SportPesa huku akiamini baadhi ya changamoto ambazo walishindwa kuzitatua kutokana labda na wingi wa majukumu zitatatuliwa na kipato kitachotokana na bajaj hiyo.
    Huu ndio Mchongo wa Maana hivi sasa kwa watanzania kwani kwa kutumia simu Yeyote ya Mkononi unaweza piga *150*87# ukajisajili na SportPesa na kuanza kucheza , au unaweza kucheza kupitia tovuti yani www.sportpesa.co.tz  kumbuka kuweka pesa kuanzia buku au zaidi ili uanze kucheza namba ya kampuni ni 150888 na kumbukumbu namba ni 888 kumbuka kucheza mara nyingi ndio kuongeza nafasi ya kushinda bajaj.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAGITA MBWEGA WA KAHAMA ASIMULIA ‘ALIVYOJINUNULIA’ BAJAJI KWA SH 1,000 NA SPORTPESA WAMEMPELEKEA HADI MLANGONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top