Washambuliaji Alexandre Lacazette na Pierre-Emerick Aubameyang wakishangilia baada ya kila mmoja kuifungia Arsenal mabao mawili katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Craven Cottage mjini London. Lacazette alifunga dakika za 29 na 49 na Aubameyang dakika za 79 na 90, wakati bao la tatu la Arsenal limefungwa na Aaron Ramsey dakika ya 67 na la Fulham limefungwa na Andre Schurrle dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City 'are already preparing for life after Pep Guardiola' and believe
Girona's Michel could be the man to 'continue his legacy' after stunning
season in LaLiga
-
The club are working on a succession plan for their manager, whose contract
expires in the summer of 2025. Guardiola hinted he could extend his deal at
the...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment