Mrusi Khabib Nurmagomedov (kulia) akitembea kibabe baada ya kummaliza mpinzani wake, Conor McGregor katika raundi ya nne alfajiri ya leo kwenye pambano la ubingwa wa UFC 229 uzito wa Light. Nurmagomedov aliruka ulingo kwenda kupigana na rafiki wa McGregor, Dillon Danis. Na ulingoni mmoja wa wapambe wa Khabib akampiga kichwani McGregor na kuzua tafrani kubwa ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Graeme Souness urges PFA and Premier League to support gay players
-
Liverpool icon and Sky Sports pundit Graeme Souness has implored football's
governing bodies to do more to eradicate homophobia in the game.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment