Harry Kane akiwa amemshika kwa hasira Joe Ralls wa Cardiff City (katikati kulia) baada ya kumchezea rafu mchezaji mwenzake wa Tottenham Hotspur Lucas Moura (kushoto chini, namba 27) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley mjini London. Ralls alitolewa kwa kadi nyekundu na Spurs imeibuka na ushindi wa 1-0, bao pekee la Eric Dier dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Newcastle star is named manager of new UAE side Al Qabila ahead of
their first top flight season in Dubai as the the club tease arrival of
'legendary' ex-defender
-
The club released a video on TikTok telling fans that they would be
unveiling their new head coach, who they said was a 'legend' whose
experience was 'unma...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment