Matteo Guendouzi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 79 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Qarabag usiku wa Alhamisi Uwanja wa Taifa wa Baku. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Sokratis Papastathopoulos dakika ya nne na Emile Smith Rowe dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Oscar Pistorius is pictured for the first time as a free man: See the
Mail's world exclusive pictures of paroled killer after he piled on the
pounds in prison and had to get new prosthetic legs
-
Click to see the full unobscued images on Mail+. These are the first
pictures of Oscar Pistorius since his release from jail for murdering his
girlfriend R...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment