• HABARI MPYA

    Friday, September 07, 2018

    UFARANSA YALAZIMISHA SARE NA UJERUMANI 0-0 MUNICH

    Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba akimgeuza beki Joshua Kimmich wa Ujerumani katika mchezo wa Ligi ya Mataifa ya UEFA usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich timu hizo zikitoka sare ya 0-0 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA YALAZIMISHA SARE NA UJERUMANI 0-0 MUNICH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top