Beki wa Uganda, Hassan Wasswa Mawanda akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta katika mchezo wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani nchini Cameroon uliofanyika jana Uwanja wa Mandela, Namboole mjini Kampala, Uganda timu hizo zikitoka sare ya 0-0. PICHA KWA HISANI YA FIFA
Moses Waiswa wa Uganda akiondoka na mpira mbele ya beki wa Tanzania, Aggrey Morris
Kikosi cha Tanzania katika mchezo wa jana
Kikosi cha Uganda katika mchezo wa jana
Unai Emery hails Emiliano Martinez as the 'BEST goalkeeper in the world'
after match-winning display and antics against Lille, but admits he
'thought Argentine would be sent off'
-
Unai Emery has hailed Emi Martinez as the world's best goalkeeper after his
controversial performance in Aston Villa's dramatic win over Lille.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment