Cristiano Ronaldo akipiga shuti wakati wa mazoezi ya Juventus jana mjini Turin kujiandaa mchezo wa Serie A dhidi ya Sassuolo kesho baada ya kucheza mechi tatu awali bila kufunga kufuatia kusajiliwa kwa Pauni Milioni 100 kutoka Real Madrid miezi miwili iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Back in the swing
-
Some of United's internationals return to training ahead of the Brentford
clash...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment