Pepe akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la kusawazisha dakika ya 32 katika sare ya 1-1 na Croatia kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Do Algarve mjini Sao Joao da Venda, hilo likiwa bao lake la saba kuifungia timu yake hiyo ya taifa katika mechi ya 100 jana. Croatia ilitangulia kwa bao la Ivan Perisic dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry and wife Toni pose with their lookalike twin son and daughter
Georgie and Summer, 17, as Chelsea icon celebrates his Premier League Hall
of Fame induction
-
Terry (left) posted a picture of himself stood next to his wife
(second-left) and children on Instagram, who possess an uncanny likeness to
their former pr...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment