Kinda wa miaka 19, Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ufaransa dakika ya 14 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya UEFA uliofanyika Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Ryan Babel aliisawazishia Uholanzi dakika ya 67 kabla ya Olivier Giroud kuifungia la ushindi Ufaransa dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sadio Mane MISSES a penalty for Al-Nassr with regular taker Cristiano
Ronaldo suspended... but the former Liverpool star recovers to net a brace
in the 3-1 win over Al Feiha
-
With a fightback win, and qualification for next season's AFC Champions
League secured, Ronaldo shared his congratulations to his teammates in a
post on so...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment