Bondia Rashid Matumla (katikati) akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) ofisini kwake mwaka 1999 baada ya kutwaa mkanda wa ubingwa wa dunia wa ngumi za kulipwa uzito wa Light Middle kwa kumpiga Mtaliano, Paolo Pizzamiglio Juni 5, mwaka huo mjini Piacenza. Kushoto ni aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Makame Rashid (sasa marehemu).
Christiansen runs London Marathon in memory of aunt
-
Former England midfielder Izzy Christiansen explains why she will be
running Sunday's London Marathon in memory of her aunt.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment